1 Chronicles 29:20

20Ndipo Daudi akaliambia kusanyiko lote, “Mhimidini Bwana Mwenyezi Mungu wenu.” Hivyo wote wakamhimidi Bwana, Mungu wa baba zao. Wakasujudu na kuanguka kifudifudi mbele za Bwana na mfalme.

Sulemani Akubalika Kuwa Mfalme

Copyright information for SwhKC